Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) katika kikao chake cha Agosti 21, 2026 ilipitia mwenendo na matukio mbalimbali ya Ligi na kufanya maamuzi yafuatayo;
Ligi Kuu ya NBC
Mechi Namba 001: Pamba Jiji 1-1 Dodoma Jiji
Klabu ya Dodoma Jiji imetozwa faini ya Sh. 5,000,000 (milioni tano)..... download Xtra 90 App



