Bruno Fernandes Mchezaji Bora wa Mwaka EPL 2025/26 Kwa Kura za Wachezaji

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said β€’ 26th August 2026


Bruno Fernandes Mchezaji Bora wa Mwaka EPL 2025/26 Kwa Kura za Wachezaji

Nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes, ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwaka kwa msimu wa 2025/26, ikiwa ni mara yake ya kwanza kushinda tuzo hiyo tangu aanze kucheza soka la ushindani.

Fernandes alikuwa na msimu bora huku akivunja rekodi ya asisti nyingi zaidi katika msimu mmoja wa Ligi Kuu England baada ya kufikisha jumla ya asisti 21, akipita rekodi zilizokuwa zikishikiliwa na Thierry Henry na Kevin De Bruyne.

Mbali na asisti hizo, kiungo huyo wa Ureno alifunga mabao tisa na kuwa miongoni mwa wachezaji muhimu katika kuisaidia Manchester United kumaliza nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu England chini ya kocha Michael Carrick, hivyo kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu unaofuata.


  

More Stories

Matola afunguka maandalizi ya Simba kuikabili Coastal Union
Matola afunguka maandalizi ya Simba kuikabili Coastal Union
Today, READ MORE β†’
Ayyoub Bouaddi atua Manchester City kwa ada ya rekodi
Ayyoub Bouaddi atua Manchester City kwa ada ya rekodi
Today, READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 14, August 26 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 14, August 26 2026
Today, READ MORE β†’
LASK, Bodo/Glimt na Sabah Fc zaandika historia UEFA Champions League.
LASK, Bodo/Glimt na Sabah Fc zaandika historia UEFA Champions League.
Today, READ MORE β†’
Bruno Fernandes Mchezaji Bora wa Mwaka EPL 2025/26 Kwa Kura za Wachezaji
Bruno Fernandes Mchezaji Bora wa Mwaka EPL 2025/26 Kwa Kura za Wachezaji
Today, READ MORE β†’
NBC Premier League: Namungo na Polisi Tanzania Zapata Ushindi.
NBC Premier League: Namungo na Polisi Tanzania Zapata Ushindi.
Today, READ MORE β†’
Xabi Alonso - Enzo Akiondoka Chelsea Sitoshangaa
Xabi Alonso - Enzo Akiondoka Chelsea Sitoshangaa
Yesterday, READ MORE β†’
NBC Premier League Leo: Michezo Miwili Yaendelea
NBC Premier League Leo: Michezo Miwili Yaendelea
Yesterday, READ MORE β†’
Dickson Job na Clement Mzize Kurejea Kikosini Karibuni
Dickson Job na Clement Mzize Kurejea Kikosini Karibuni
Yesterday, READ MORE β†’
Chelsea Yaanza Premier League kwa Ushindi Dhidi ya Fulham.
Chelsea Yaanza Premier League kwa Ushindi Dhidi ya Fulham.
Yesterday, READ MORE β†’