Azizi KI Yupo Tayari Kuikabili Fountain Gate hii Leo

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said • 31st August 2026


Azizi KI Yupo Tayari Kuikabili Fountain Gate hii Leo

Kiungo mshambuliaji wa yanga Stephen Azizi KI anatarajiwa kuwa sehemu ya wachezaji wa yanga ambao watawakilisha Timu hiyo katika mchezo wa raundi ya tano ya NBC hii Leo dhidi ya Fountain Gate

Taarifa hiyo inakuja kufuatia maneno ya Kocha Mkuu wa Timu hiyo Manqoba Mngqithi alipozungumza na waandishi wa habari kuelekea mchezo wa pamba jiji wiki iliyopita kuwa nyota huyo atakuwa tayari kabla ya mechi za Kimataifa.

Yanga inashuka uwanjani hii leo majira ya saa 10 jioni katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kisha kurejea tena uwanjani Septemba 5 kwenye mchezo wa kwanza Kimataifa dhidi ya Gaborone united ya Botswana


  

More Stories

Azizi KI Yupo Tayari Kuikabili Fountain Gate hii Leo
Azizi KI Yupo Tayari Kuikabili Fountain Gate hii Leo
Today, READ MORE →
Malick Yalcouyé, kutoka ASEC hadi kuwang’ara Brighton na kuacha majuto Simba.
Malick Yalcouyé, kutoka ASEC hadi kuwang’ara Brighton na kuacha majuto Simba.
Today, READ MORE →
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 20, August 31 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 20, August 31 2026
Today, READ MORE →
Kocha Ahmad Ally wa JKT Tanzania na vijana wake ndani ya chumba cha kubadilishia nguo
Kocha Ahmad Ally wa JKT Tanzania na vijana wake ndani ya chumba cha kubadilishia nguo
Today, READ MORE →
Raundi ya tano Ligi Kuu NBC: Simba na Yanga kushuka uwanjani leo
Raundi ya tano Ligi Kuu NBC: Simba na Yanga kushuka uwanjani leo
Today, READ MORE →
United na Chelsea zavuruga raundi ya pili EPL
United na Chelsea zavuruga raundi ya pili EPL
Today, READ MORE →
Raja Casablanca yaingia katika mgogoro mkubwa, Nabi aondoka Casablanca
Raja Casablanca yaingia katika mgogoro mkubwa, Nabi aondoka Casablanca
Today, READ MORE →
Van Dijk amtaka Gakpo abaki Liverpool licha ya nia ya Manchester City
Van Dijk amtaka Gakpo abaki Liverpool licha ya nia ya Manchester City
Today, READ MORE →
Barcelona yamnasa Gabriel Jesus Kutoka Arsenal
Barcelona yamnasa Gabriel Jesus Kutoka Arsenal
Today, READ MORE →
Manqoba apania kuendeleza ubabe Yanga ikitua Arusha kuikabili Fountain Gate
Manqoba apania kuendeleza ubabe Yanga ikitua Arusha kuikabili Fountain Gate
Yesterday, READ MORE →