Chama: Ilikuwa ngumu kucheza dhidi ya simba nikiwa na jezi ya timu nyingine

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said β€’ 4th September 2026


Chama: Ilikuwa ngumu kucheza dhidi ya simba nikiwa na jezi ya timu nyingine

Kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Clatous Chama, amefunguka kuhusu ugumu alioupitia wakati akicheza dhidi ya Simba akiwa amevaa jezi ya timu nyingine, akieleza kuwa ilikuwa changamoto kutokana na uhusiano wake mkubwa na klabu hiyo.

Chama amesema kucheza dhidi ya timu ambayo ipo moyoni mwake haikuwa rahisi, lakini alilazimika kuweka hisia pembeni na kutekeleza majukumu yake ya kikazi kwa kiwango cha juu. “Ni ngumu sana kucheza dhidi ya timu ambayo ipo kwenye moyo wako, lakini linapokuja suala la professionalism lazima ujitoe kwa uwezo wako wote,” amesema Chama.

Chama, ambaye amewahi kuichezea Yanga SC na Singida Black Stars baada ya kuondoka Simba, hatimaye amerejea Msimbazi na kwa sasa anaendelea kuitumikia Simba katika msimu huu.


  

More Stories

Real Madrid na PSG zakutana na vipigo katika ligi zao.
Real Madrid na PSG zakutana na vipigo katika ligi zao.
Today, READ MORE β†’
Chama: Ilikuwa ngumu kucheza dhidi ya simba nikiwa na jezi ya timu nyingine
Chama: Ilikuwa ngumu kucheza dhidi ya simba nikiwa na jezi ya timu nyingine
Today, READ MORE β†’
Clatous Chama : Nilijutia kuondoka simba
Clatous Chama : Nilijutia kuondoka simba
Today, READ MORE β†’
Massanza akumbana na fainali kamati ya saa 72
Massanza akumbana na fainali kamati ya saa 72
Today, READ MORE β†’
Kangwanda: Tumejiandaa vizuri, tutatoa kila kitu uwanjani.
Kangwanda: Tumejiandaa vizuri, tutatoa kila kitu uwanjani.
Today, READ MORE β†’
Bodi ya ligi tanzania bara yafuta kadi nyekundu ya Gibril sillah wa Azam
Bodi ya ligi tanzania bara yafuta kadi nyekundu ya Gibril sillah wa Azam
Today, READ MORE β†’
Mngqithi: Gaborone United ni timu imara, Yanga inakabiliwa na mtihani mgumu.
Mngqithi: Gaborone United ni timu imara, Yanga inakabiliwa na mtihani mgumu.
Today, READ MORE β†’
Ahmed Ally atuma ujumbe mzito kwa wachezaji wa Simba kuelekea mchezo dhidi ya Mighty wanderers
Ahmed Ally atuma ujumbe mzito kwa wachezaji wa Simba kuelekea mchezo dhidi ya Mighty wanderers
Today, READ MORE β†’
Aziz KI apewa mazoezi ya ziada kuingamiza Gaborone united kesho
Aziz KI apewa mazoezi ya ziada kuingamiza Gaborone united kesho
Today, READ MORE β†’
Bernard Kamungo ajumuishwa rasmi kwenye kikosi cha Taifa Stars.
Bernard Kamungo ajumuishwa rasmi kwenye kikosi cha Taifa Stars.
Today, READ MORE β†’