Mpya

Pacome aongoza hamasa KMC Complex

Shabiki NambaMoja By Shabiki NambaMoja
β€’
1d ago
Pacome aongoza hamasa KMC Complex

Kiungo mshambuliaji wa Yanga Pacome Zouzoua leo amewatembelea wachezaji wenzake uwanja wa KMC Complex wakiendelea na maandalizi kuelekea mchezo wa mkondo wa pili hatua ya awali ligi ya mabingwa dhidi ya Gaborone United.

Hii ni mara ya kwanza kwa Pacome kuonekana kwenye mazingira tofauti nje ya makazi yake au Hospitalini tangu alipoumia Juni 30.

Licha ya kutembea kwa msaada wa magongo, hali ya Pacome imeimarika kwani sasa anaweza kutumia mguu uliopata majeraha na kufanyiwa upasuaji.

Pacome alitua KMC Complex kuwaongezea wachezaji wenzake hamasa katika maandalizi kuelea mchezo dhidi yaa Gaborone United.

More Stories

Maandalizi ya kuikabili Gaborone United yamekamilika
Maandalizi ya kuikabili Gaborone United yamekamilika
8m ago
READ MORE β†’
Toure anajiamini, atafunga sana
Toure anajiamini, atafunga sana
4h ago
READ MORE β†’
Manqoba aondoka na tuzo ya ligi kuu August
Manqoba aondoka na tuzo ya ligi kuu August
7h ago
READ MORE β†’
Mwalimu awaalika Wananchi SELE DAY
Mwalimu awaalika Wananchi SELE DAY
7h ago
READ MORE β†’
Hatutawadharau Gaborone United - Manqoba
Hatutawadharau Gaborone United - Manqoba
7h ago
READ MORE β†’
Aziz Ki apunguziwa presha Yanga
Aziz Ki apunguziwa presha Yanga
10h ago
READ MORE β†’
Sele Day tiketi zinaelekea ukingoni
Sele Day tiketi zinaelekea ukingoni
10h ago
READ MORE β†’
Manqoba na ndoto ya fainali ligi ya mabingwa
Manqoba na ndoto ya fainali ligi ya mabingwa
11h ago
READ MORE β†’
Magazeti ya leo Ijumaa, Septemba 11 2026
Magazeti ya leo Ijumaa, Septemba 11 2026
14h ago
READ MORE β†’