Kocha Mkuu wa Yanga Manqoba Mngqithi ametwaa tuzo ya kocha bora wa ligi kuu ya NBC kwa mwezi August 2026.
Manqoba ametwaa tuzo hiyo baada ya kuwabwaga Steve Barker wa Simba na Florent Ibenge wa Azam Fc.
Kocha huyo raia wa Afrika Kusini ameshinda tuzo hiyo baada ya kushinda mechi zote tano zilizopigwa August huku akiingoza Yanga kukaa kileleni mwa msimamo wa ligi.
