Mpya

Casemiro, Chuga Boy katika majukumu ya timu ya Taifa U20

Shabiki NambaMoja By Shabiki NambaMoja
β€’
1d ago
Casemiro, Chuga Boy katika majukumu ya timu ya Taifa U20

Wachezaji wa Yanga Juma Abushir 'Chuga Boy' na Abdulnassir Mohamed 'Casemiro' ni sehemu ya kikosi cha timu ya Taifa ya vijana U20 Ngorongoro Heroes ambacho kitashuka dimbani kuwakabili Rwanda.

Ni katika mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya Afcon U20 kwa ukanda wa CECAFA.

Mchezo huo utapigwa saa 2 usiku kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

Wakati vijana hao wakishuka dimba la Uhuru kwenye majukumu ya timu ya Taifa, kaka zao watakuwa dimba la KMC Complex kuikabili Geita Gold katika mchezo wa ligi kuu ya NBC.

More Stories

Wachezaji wetu wameonyesha tabia ya kibingwa - Kamwe
Wachezaji wetu wameonyesha tabia ya kibingwa - Kamwe
43m ago
READ MORE β†’
Mzize 'amkosha' Manqoba
Mzize 'amkosha' Manqoba
3h ago
READ MORE β†’
Highlights; Yanga 1-0 Geita Gold, NBC PL (FT)
Highlights; Yanga 1-0 Geita Gold, NBC PL (FT)
6h ago
READ MORE β†’
Magazeti ya leo Jumatano, Septemba 16 2026
Magazeti ya leo Jumatano, Septemba 16 2026
6h ago
READ MORE β†’
FT : Yanga 1-0 Geita Gold, NBC PL
FT : Yanga 1-0 Geita Gold, NBC PL
15h ago
READ MORE β†’
Goal : Yanga 1-0 Geita Gold, NBC PL (FT)
Goal : Yanga 1-0 Geita Gold, NBC PL (FT)
17h ago
READ MORE β†’
Kikosi : Yanga vs Geita Gold, NBC PL, Sept 15
Kikosi : Yanga vs Geita Gold, NBC PL, Sept 15
19h ago
READ MORE β†’
Mzize kurejea dhidi ya Geita Gold leo
Mzize kurejea dhidi ya Geita Gold leo
21h ago
READ MORE β†’
Shalulile hatihati kuikosa Geita Gold
Shalulile hatihati kuikosa Geita Gold
1d ago
READ MORE β†’