SportPesa yaijia juu Yanga

Joel JJ By Joel JJ β€’ 1st February 2023


SportPesa yaijia juu Yanga

Kampuni ya SportPesa ambao ni Wadhamini wakuu wa klabu ya Yanga 2022-25, imeeleza kusikitishwa na hatua ya Yanga kuitangaza kampuni ya Haier kuwa Mdhamini katika michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika

Taarifa iliyotolewa na SportPesa mapema leo, imebainisha kuwa kampuni hiyo ilipendekeza Yanga kutumia 'Visit Tanzania' kama mbadala katika michuano hiyo

Hata hivyo Yanga haikukubaliana na mapendekezo hayo na kuamua kusaini mkataba maalum na Haier kuwa wadhamini katika michuano ya Shirikisho tu

SportPesa wametaka fidia kutoka kwa klabu ya Yanga


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.