Baada ya tamko la SportPesa hapo jana kutoridhishwa na uamuzi wa Yanga kusaini mkataba wa udhamini wa muda mfupi na kampuni ya Haier kwa ajili ya michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika, Rais wa Yanga Injinia Hersi Said amesema kuna majadiliano yanaendelea kati yao na SportPesa
..... download Xtra 90 App



