Yanga

Yanga kuyamaliza na SportPesa

Joel JJ By Joel JJ
β€’
2 Feb 2023
Yanga kuyamaliza na SportPesa

Baada ya tamko la SportPesa hapo jana kutoridhishwa na uamuzi wa Yanga kusaini mkataba wa udhamini wa muda mfupi na kampuni ya Haier kwa ajili ya michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika, Rais wa Yanga Injinia Hersi Said amesema kuna majadiliano yanaendelea kati yao na SportPesa

Hersi amesema Yanga inaiheshimu SportPesa kuwa ndiye Mdhamini Mkuu wa klabu hiyo, waliwajulisha uamuzi wao wa kuingia makubaliano na Haier wakifahamu CAF hairuhusu udhamini wa kampuni za ubashiri kuanzia hatua ya makundi ya michuano yao

"Tuna majadiliano ya kina na SportPesa ambao ndiyo Wadhamini wetu wakuu. Yanga inafuata na kuheshimu taratibu zote za kimkataba na SportPesa"

"Mazungumzo yetu yalikuwa wazi katika kusaini mkataba na Haier. Hatuwezi kuitumia SportPesa katika michuano ya CAF, hivyo Yanga iliona inaweza kutafuta mdhamini mwingine wa muda"

"Tuna mawasiliano yote wakati tunafanya nao. Lakini si vyema kuweka wazi kila kitu. Taratibu za kiutendaji zinakwenda vyema na tutatapokuwa tumemaliza kila kitu tutakuja kukiweka hadharani," alisema Said

SportPesa imetaka fidia kutoka kwa klabu ya Yanga kwa kuwa wao ndio wana haki ya kukaa kifuani kwenye jezi ya Yanga kwa miaka mitatu 2022-25

More Stories

Mizzima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizzima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
3h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
7h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
7h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
8h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
9h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
9h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
10h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
10h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
1d ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
1d ago
READ MORE β†’