Everton wanataka kumsajili mshambuliaji wa Ghana Andre Ayew, ambaye anatarajiwa kuwasili Uingereza kwa mazungumzo, kwa uhamisho wa bure. Nottingham Forest pia inaweza kujaribu kumnunua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 33. (Mail)
..... download Xtra 90 App



