Everton - Arsenal

Everton yaisimamisha Arsenal Goodison Park

Joel JJ By Joel JJ
4 Feb 2023
Everton yaisimamisha Arsenal Goodison Park

Sean Dyche ameanza vyema majukumu yake ya kuinoa Everton baada ya leo kuiongoza timu hiyo kupata ushindi wa ba0o 1-0 dhidi ya vinara wa ligi Arsenal

Baada ya muda mrefu, hatimaye mashabiki wa Everton leo wamefurahia kandanda safi kutoka kwa timu yao na hivyo kufufua matumaini katika mkakati wao wa kusalia kwenye ligi kuu

Arsenal iliyokuwa imecheza mechi 13 mfululizo bila kupoteza kabla ya kipigo cha leo, walikuwa na wakati mgumu kukabiliana na vijana wa Dyche ambao walikimbia sana

Mlinzi wa kati James Tarkowski alifunga bao pekee la Everton kwenye mchezo huo akitumia vyema mpira wa kona uliochongwa na Dwight McNeil

Everton wameondoka kwenye eneo la kushuka daraja wakipanda mpaka nafasi ya 17 baada ya kufikisha alama 18

Licha ya kipigo Arsenal wanaendelea kubaki kileleni mwa msimamo wa ligi kwa tofauti ya alama tano dhidi ya Manchester City 

Alama 50 kwa Arsenal na alama 45 kwa Manc City huku timu zote zikiwa zimeshuka dimbani mara 20

More Stories

Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
3h ago
READ MORE →
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
4h ago
READ MORE →
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
6h ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
6h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
7h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
7h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
7h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
7h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
8h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
10h ago
READ MORE →