Yanga - Namungo

Yanga yaichapa Namungo Fc 2-0

Joel JJ By Joel JJ
β€’
4 Feb 2023
Yanga yaichapa Namungo Fc 2-0

Yanga imeendelea kujiimarisha kileleni mwa msimamo wa ligi kuu ya NBC baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Namungo Fc

Dickson Job ndiye aliyeitanguliza Yanga kwa bao la kichwa kwenye dakika ya 43 akimaliza mpira wa kona kutoka kwa Stephane Aziz Ki

Yanga ilikwenda mapumziko ikiwa mbele kwa bao 1-0. Kipindi cha pili Namungo walirejea wakiwa na kasi zaidi lakini kwenye dakika ya 51 Aziz Ki akafunga bao lake la tano msimu huu akitumia vyema makosa ya mlinda lango Deo Munish 'Dida'

Haikuwa bahati kwa Fiston Mayele kuongeza mabao yake kwani pamoja na jitihada zote hakufanikiwa kuweka mpira kambani

Kennedy Musonda nae alipata nafasi kadhaa lakini uimara wa Dida ulimfanya asifungue akaunti ya mabao kwenye ligi

Namungo walitengeneza nafasi kadhaa hasa kwenye kipindi cha pili lakini walikosa umakini mbele ya lango la Yanga hivyo kukosa nafasi nyingi

Wananchi wanaendelea kukaa kileleni kwa tofauti ya alama sita baad aya kufikisha alama 59

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
2h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
2h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
2h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
6h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
9h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
10h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
10h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
11h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
12h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
13h ago
READ MORE β†’