Simba - Al Hilal

Simba yalazimishwa sare na Al Hilal

Joel JJ By Joel JJ
β€’
5 Feb 2023
Simba yalazimishwa sare na Al Hilal

Mchezo wa Kimataifa wa kirafiki kati ya Simba dhidi ya Al Hilal umemalizika kwa matokeo ya sare ya bao 1-1

Makapi Lilepo alifunga bao la Al Hilal kwenye dakika ya sita huku Simba ikisawazisha kupitia kwa Habibu Kiyombo kwenye dakika ya 81

Kocha Mkuu wa Simba Robertinho Oliveira alifanya mabadiliko makubwa ya kikosi kwenye kipindi cha kwanza akiwapumzisha nyota wake muhimu

Lakini mabadiliko aliyofanya kwenye kipindi cha pili kwa kuwaingiza Mohammed Hussein, Shomari Kapombe, Clatous Chama, Pape Ousmane Sakho na Mzamiru Yasin yaliiongezea kasi Simba

Al Hilal walikuwa hatari zaidi kupitia mashambulizi ya kushitukiza kama sio uimara wa mlinda lango Beno Kakolanya, pengine wangefunga tena

Mchezo huu ulikuwa na umuhimu mkubwa kwa kila timu yakiwa ni maandalizi ya mwisho kuelekea hatua ya makundi ya michuano ya ligi ya mabingwa wiki ijayo

Simba itasafiri Guinea kuikabili Horoya Ac wakati Al Hilal wanakwenda Afrika Kusini kuumana na Mamelodi Sundowns

More Stories

Mizzima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizzima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
1h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
4h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
5h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
5h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
6h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
7h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
8h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
8h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
21h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
21h ago
READ MORE β†’