Fc Barcelona yazidi kujichimbia kileleni La Liga

Joel JJ By Joel JJ β€’ 6th February 2023


Fc Barcelona yazidi kujichimbia kileleni La Liga

Ushindi wa mabao 3-0 ambao Fc Barcelona waliupata dhidi ya Sevilla hapo jana, umewafanya waendelee kujichimbia kileleni mwa La Liga sasa kwa tofauti ya alama nane

Real Madrid walikumbana na kipigo kisichotarajiwa kutoka kwa Mallorca wakichapwa bao 1-0 katika mchezo uliopigwa mapema hapo jana

Jordi Alba, Gavi na Rafihna ndio walioihakikishia Barcelona ushindi huo katika mchezo uliopigwa saa 5 usiku

Fc Bercelona wamekuwa na kiwango bora msimu huu, wanajiweka katika nafasi nzuri ya kutwaa taji la La Liga

Wamekusanya alama 53 kutoka mechi 20 wakifuatiwa na Real Madrid yenye alama 45 kutoka mechi 20 pia


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.