Yanga

Morrison nje miezi miwili Yanga

Joel JJ By Joel JJ
β€’
6 Feb 2023
Morrison nje miezi miwili Yanga

Klabu ya Yanga imethibitisha kuwa winga Mghana Bernard Morrison atakuwa nje ya uwanja kwa takribani miezi miwili baada ya kupata majeraha ya nyama za paja

Daktari wa Yanga Moses Etutu amesema tayari Morrison alishaanza matibabu kama ilivyo kwa mlinda lango Aboutwalib Mshery ambaye anasumbuliwa na tatizo la goti

Mshery atakuwa nje kwa miezi minne ambapo anatarajiwa kusafiri Tunisia kwa ajili ya matibabu zaidi. pengine Wananchi watarajie kumuona tena uwanjani msimu ujao

Kwa Morrison ni kama Yanga ilicheza kamali kwani Mghana huyo ametumia muda mwingi nje ya uwanja kuliko ndani

Mara ya mwisho kwa Morrison kuonekana uwanjani ni Disemba 23 2022 katika mchezo wa ligi kuu ambao Yanga walishinda mabao 3-2 dhidi ya Azam Fc

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
7h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
7h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
11h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
15h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
15h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
17h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
18h ago
READ MORE β†’