Simba

Simba kuzindua jezi za CAF

Joel JJ By Joel JJ
β€’
7 Feb 2023
Simba kuzindua jezi za CAF

Klabu ya Simba inatarajiwa kuzindua jezi maalum ambazo zitatumika kwenye hatua ya makundi ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika

Tukio la uzinduzi linatarajiwa kufanyika leo, Jumanne Februari 07 saa 1 usiku jijini Dar es salaam

Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) limeigomea klabu ya Simba kutumia jezi aenye nembo ya wadhamini wao M-Bet kutokana na mgongano wa Udhamini ambapo Mdhamini Mkuu wa CAF kwenye michuano ya ligi ya mabingwa na kombe la Shirikisho ni 1xBet

Simba huenda ikaendelea kutumia nembo ya VISIT TANZANIA badala ya M-Bet ili kukidhi matakwa ya CAF

More Stories

Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
1h ago
READ MORE β†’
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
11h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
12h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
12h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
16h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
19h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
20h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
20h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
21h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
21h ago
READ MORE β†’