Fiston Mayele wa Yanga anaendelea kuongoza mbio za kuwania ufungaji bora ligi kuu ya NBC akiwa na mabao 15
Anafuatiwa na nyota wawili wa Simba Moses Phiri na Saido Ntibazonkiza mabao wamefunga mabao 10 kila mmoja

Kwa upande wa vinara wa kutengeneza pasi za mabao, Clatous Chama wa Simba ametengeneza mabao 14 akifuatiwa na Saido aliyetengeneza mabao 8

Kwa walinda lango, Djigui Diarra wa Yanga ana cleansheet 13 akifuatiwa na Aishi Manula wa Simba mwenye cleansheet 11