Al Hilal - Al Ahly - Real Madrid

Al Hilal yatangulia fainali kombe la Dunia

Joel JJ By Joel JJ
β€’
8 Feb 2023
Al Hilal yatangulia fainali kombe la Dunia

Klabu ya Al Hilal ya Saudi Arabia imetinga hatua ya fainali ya kombe la Dunia la vilabu kufuatia ushindi wa 3-2 dhidi ya miamba ya Brazil Flamengo katika mchezo uliopigwa katika dimba la Tangier’' Ibn Batuta. 

Al Hilal inasubiri inamsubiri mshindi wa mchezo kati ya Al Ahly ya Misri dhidi ya Real Madrid ya Hispania katika nusu fainali ya pili siku ya leo Jumatano

Je Al Ahly wataweza kuwafuata Al Hilal fainali na kuvunja utawala wa klabu za Ulaya katika michuano hiyo?

Mchezo utapigwa saa 4 usiku

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
1h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
1h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
2h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
5h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
9h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
9h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
10h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
11h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
12h ago
READ MORE β†’