Ratiba 16 bora kombe la FA hadharani

Joel JJ By Joel JJ β€’ 8th February 2023


Ratiba 16 bora kombe la FA hadharani

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeweka hadharani ratiba ya mechi za hatua ya 16 bora kombe la Shirikisho la Azam (ASFC)

Mechi hizo ambazo washindi watatinga robo fainali, zitapigwa kati ya March 02 na March 05


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.