Kikosi cha Yanga kiliwasili Dubai jana majira ya saa 3 usiku wakiwa safarini kuelekea Tunisia kwa ajili ya mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi kombe la Shirikisho dhidi ya US Mionastir
Yanga imeondoka Dubai leo asubuhi na inatarajiwa kuwasili Tunisia majira ya mchana
Mchezo dhidi ya US Monastir utapigwa Jumapili, Februari 12 huko Tunisia






