Madaktari wa Yanga wameokoa uhai wa abiria mmoja wakati kikosi hicho kikiwa safarini kwenda nchini Tunisia kwa ajili ya mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya US Monastir utakaochezwa Jumapili ya Februari, 12
..... download Xtra 90 App



