Kocha Msaidizi wa Simba, Juma Mgunda, amesema tayari wamefanikiwa kuona ubora wa Horoya AC ulipo na udhaifu wao, hivyo wataenda nchini Guinea kikamilifu kwa ajili ya kusaka pointi muhimu katika mchezo huo wa hatua ya makundi wa Ligi ya Mabingwa Afrika
..... download Xtra 90 App



