Manchester United chupuchupu mbele ya Leeds

Joel JJ By Joel JJ β€’ 9th February 2023


Manchester United chupuchupu mbele ya Leeds

Mabao ya Marcus Rashford na Jadon Sancho yaliinusuru Manchester United na kupigo kutoka kwa Leeds United katika mchezo Ligi Kuu ya Uingereza uliopigwa dimba la Old Trafford

Gnonto aliitanguliza Leeds kwa bao la mapema dakika ya kwanza kabla ya Verane kujifunga bao la pili kuipa Leeds uongozi usiotarajiwa wa mabao 2-0

Ikumbukwe Leeds waliingia kwenye mchezo huo wakiwa hawana kocha baada ya kumtimua Jesse Marsch siku ya Jumatatu

Ni matokeo ambayo yanazidi kuvuruga hesabu za United katika mbio za ubingwa kwani sasa wako nyuma ya vinara Arsenal kwa tofauti ya alama 7

Arsenal wana mechi mbili za viporo


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.