Manchester City - Manchester United - Arsenal

Manchester City yaiweka kwenye presha Arsenal

Joel JJ By Joel JJ
β€’
13 Feb 2023
Manchester City yaiweka kwenye presha Arsenal

Mbio za kuwania ubingwa wa ligi kuu ya Uingereza zinazidi kupamba moto baada ya Manchester City kuichapa Aston Villa mabao 3-1 hapo jana na kupunguza gap la pointi dhidi ya vinara wa ligi hiyo Arsenal kuwa alama tatu

Mapema Manchester United ilipata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Leeds United na kufikisha alama 46, wakiwa nafasi ya tatu tofauti ya alama mbili dhidi ya Man City na alama tano dhidi ya Arsenal yenye alama 51

Arsenal haikupata ushindi katika mechi mbili zilizopita wakifungwa na Everton bao 1-0 na juzi kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Brentford katika mchezo ambao pengine Arsenal hawakutendewa haki mwamuzi

Arsenal ina mechi moja pungufu ya Man City huku timu hizo zikitarajiwa kuchuana siku ya Jumatano katika mechi ya kwanza kwenye ligi msimu huu

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
6h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
6h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
10h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
14h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
15h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
16h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
17h ago
READ MORE β†’