Simba - Yanga

Simba, Yanga zarejea kusaka ushindi kwa Mkapa

Joel JJ By Joel JJ
β€’
14 Feb 2023
Simba, Yanga zarejea kusaka ushindi kwa Mkapa

Kikosi cha Simba kimerejea jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakitokea Guinea ambako walicheza mechi ya kwanza ya hatua ya makundi ligi ya mabingwa dhidi ya Horoya Ac na kukubali kichapo cha bao 1-0

Jumamosi, Februari 18 Simba itakuwa dimba la Benjamin Mkapa kuikabili Raja Casablanca vinara wa kundi C ambao mechi yao ya kwanza walipata ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Vipers Fc

Watani zao Yanga nao watawasili baadae leo wakitokea Tunisia ambako walipoteza mechi ya Shirikisho dhidi ya US Monastir kwa kufungwa mabao 2-0

Yanga itashuka uwanja wa Benjamin Mkapa siku ya Jumapili kumenyana na TP Mazembe ambao ni vinara wa kundi D

Mazembe iliichapa Real Bamako mabao 3-1 katika mchezo wa kwanza uliopigwa Lubumbashi, DR Congo

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
8h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
8h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
8h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
12h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
15h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
16h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
16h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
17h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
18h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
19h ago
READ MORE β†’