Kocha Mkuu wa Dodoma Jiji Melis Medo amewaomba radhi waamuzi wa mchezo wa mpira wa miguu na wadau wote kutokana na kitendo cha kumpokonya kadi ya njano Mwamuzi wa kati na kumuonyesha kadi hiyo Mwamuzi wa akiba katika mchezo wa ligi kuu kati ya Mtibwa Sugar dhidi ya Dodoma Jiji




