Yanga - Tanzania - Azam

Fei Toto anusurika ajalini Zanzibar

Joel JJ By Joel JJ
β€’
15 Feb 2023
Fei Toto anusurika ajalini Zanzibar

Kiungo mshambuliaji Feisal Salum ambaye yupo kwenye mgogoro na klabu yake ya Yanga, amenusurika katika ajali ya gari iliyotokea mchana wa leo Jumatano, Fuoni Mkoa wa Mjini Magharibi Zanzibar.

Ajali hiyo imehusisha gari yake aina ya Harrier nyeupe yenye namba za usajili Z 160 MW dereva akiendesha mwenyewe alikuwa akitokea Fuoni kituo cha zamani akielekea Mjini

Gari yake ikagongana na Bodaboda yenye namba za usajili Z 423 KL. Katika ajali hiyo hakuna aliyepoteza madhara makubwa zaidi ya gari kuharibika mbele na Bodaboda imeharibika

Mkuu wa kituo cha Polisi Fuoni amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo

"Ni kweli imetoka ajali hapa Fuoni Gari aina ya Harrier imegongana na Bodaboda, Gari ni ya yule bwana mdogo mchezaji wa Yanga Fei, lakini ni ajali ndogo tu hakuna aloumia". Mkuu wa Kituo Cha Polisi Fuoni alibainisha

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
37m ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
49m ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
1h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
4h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
8h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
8h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
9h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
10h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
11h ago
READ MORE β†’