Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ally amewataka mashabiki watumie vyema siku ya leo kuweka tiketi zao mikononi tayari kwa mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Raja Casablanca ambao utapigwa kesho Jumamosi katika uwanja wa Benjamin Mkapa
..... download Xtra 90 App



