Simba

Ahmed atamba, Raja hawatoki Jumamosi

Joel JJ By Joel JJ
17 Feb 2023
Ahmed atamba, Raja hawatoki Jumamosi

Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ally amewataka mashabiki watumie vyema siku ya leo kuweka tiketi zao mikononi tayari kwa mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Raja Casablanca ambao utapigwa kesho Jumamosi katika uwanja wa Benjamin Mkapa

Ahmed amesema Simba haijawahi kuwa na hofu katika mechi kubwa, Wanasimba wanapaswa kuujaza uwanja wa Benjamin Mkapa siku ya kesho ili kuwaongezea hamasa wachezaji wao katika mchezo ambao Simba inahitaji ushindi

Ahmed jana alifanya hamasa katikati ya jiji la Dar es salaam akianzia Msimbazi na baadae kumalizia Soko la Karume

Akiwa na 'kispika' chake, Ahmed aliwahakikishia mashabiki wa Simba kuwa kesho hakutakuwa na matokeo mengine zaidi ya ushindi kwa Simba

"Hakuna cha mpira unadunda, hakuna cha matokeo matatu. Tokeo ni moja tu (ushindi). Ndugu zangu wa Karume nimekuja kuwaalika, hili tunalopanga kulifanya halitafanikiwa kama hamtakuwepo uwanjani," alisema Ahmed

Leo ndio siku ya mwisho ya maandalizi kuelekea mchezo huo utakaopigwa kesho saa 1 usiku

More Stories

Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
12h ago
READ MORE →
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
13h ago
READ MORE →
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
15h ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
15h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
16h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
16h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
17h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
17h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
17h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
19h ago
READ MORE →