Katika kuhakikisha wanawahamasisha mashabiki wao kujitokeza kwa wingi uwanja wa Benjamin Mkapa katika mchezo wa kombe la Shirikisho dhidi ya TP Mazembe siku ya Jumapili, uongozi wa Yanga umekuja na mbinu ya kufanya hamasa ya mtaa kwa mtaa
..... download Xtra 90 App



