Yanga

Yanga yapiga hamasa mtaa kwa mtaa

Joel JJ By Joel JJ
17 Feb 2023
Yanga yapiga hamasa mtaa kwa mtaa

Katika kuhakikisha wanawahamasisha mashabiki wao kujitokeza kwa wingi uwanja wa Benjamin Mkapa katika mchezo wa kombe la Shirikisho dhidi ya TP Mazembe siku ya Jumapili, uongozi wa Yanga umekuja na mbinu ya kufanya hamasa ya mtaa kwa mtaa

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano klabu ya Yanga Ali Kamwe anaongoza timu hiyo ya hamasa

Jana walianzia Zakiem Mbagala na leo walikuwa Tegeta jijini Dar es salaam

Katika Mikutano yao Wanazungumza na Mashabiki juu ya umuhimu  wa kwenda kuishangilia timu yao katika mchezo dhidi ya TP Mazembe huku wakiwauzia tiketi

Pia Wanawapa mashabiki nafasi ya kuzungumza na viongozi wao waandamizi na wachezaji wao kupitia simu

Kamwe amesema wanafanya jitihada ili kuhakikisha mashabiki wanajitokeza kwa wingi siku ya Jumapili lengo likiwa kujaza uwanja wa Benjamin Mkapa

More Stories

Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
1h ago
READ MORE →
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
2h ago
READ MORE →
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
4h ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
4h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
5h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
6h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
6h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
6h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
6h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
8h ago
READ MORE →