Simba

Maafisa CAF waikagua Simba

Joel JJ By Joel JJ
β€’
17 Feb 2023
Maafisa CAF waikagua Simba

Mapema leo maofisa wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) walitembelea ofisi ya klabu ya Simba ambapo walipata nafasi ya kukutana na kuzungumza na viongozi wa Simba kuhusu mambo mbalimbali kuhusu klabu hiyo

Maafisa hao pia walipata nafasi ya kukutana na kufanya mazungumzo na Rais wa heshima wa klabu ya Simba Bilionea Mohemmed Dewji 'Mo'

Maafisa hao wapo nchini kwa ukaguzi wa maandalizi ya Africa Super League, Simba ikiwa miongoni mwa klabu zitakazishiriki michuano hiyo ikayofanyika baadae mwaka huu

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
6h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
6h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
10h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
14h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
15h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
16h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
17h ago
READ MORE β†’