Simba

Mo aongeza hamasa Simba

Joel JJ By Joel JJ
β€’
18 Feb 2023
Mo aongeza hamasa Simba

Kuelekea mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Raja Casablanca baadae leo, Rais wa heshima klabu ya Simba Bilionea Mohammed Dewji 'Mo' amewaahidi wachezaji donge nono kama watashinda mchezo huo

Jana usiku Mo akiongoza na viongozi waandamizi wa klabu ya Simba, alizungumza na wachezaji akiwataka kuhakikisha wanashinda mchezo huo utakaopigwa saa 1 usiku

Katika mahojiano yake na Simba Media, Mo alisema ana imani kubwa wachezaji watapambana na leo ushindi utapatikana

Mo atakuwepo uwanja wa Mkapa leo kuwaongezea hamasa wachezaji wa Simba katika mchezo ambao wanahitaji ushindi

More Stories

Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
31m ago
READ MORE β†’
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
10h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
10h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
11h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
14h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
18h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
18h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
19h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
20h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
20h ago
READ MORE β†’