Arsenal - Brentford

VAR yamponza Lee Mason

Joel JJ By Joel JJ
β€’
18 Feb 2023
VAR yamponza Lee Mason

Mwamuzi wa siku nyingi katika Ligi Kuu ya Premia Lee Mason hatachezesha tena ligi hiyo baada ya kuondoka kwenye bodi ya waamuzi PGMOL kwa makubaliano ya pande mbili

Kuoncoka kwa mwamuzi huyo mwenye umri wa miaka 51 kunakuja siku chache baada ya makosa yake wakati Arsenal ilipotoka sare ya 1-1 na Brentford.

Mason akiwa refa Msaidizi wa VAR, hakutoa mwongozo wa kuangalia kama Ivan Toney ameotea na kuruhusu bao la kusawazisha alilofunga

"Tungependa kumshukuru Lee kwa huduma yake ya kujitolea kitaaluma na tunamtakia kila la heri kwa siku zijazo," taarifa ya PGMOL ilisema.

Sare dhidi ya Brentford iliathiri Arsenal ikiwa sasa inashika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi baada ya kuchapwa 3-1 na Manchester City katika mchezo uliopita

Kuondoka kwa mwamuzi huyo kutawapunguzia hasira mashabiki wa Arsenal lakini Mason huenda akaendelea kubaki lawamani kama Arsenal itakosa ubingwa kwa tofauti ndogo msimu huu

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
6h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
6h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
10h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
14h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
15h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
16h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
17h ago
READ MORE β†’