Yanga

Yanga kazi moja dhidi ya TP Mazembe leo

Joel JJ By Joel JJ
19 Feb 2023
Yanga kazi moja dhidi ya TP Mazembe leo

Majira ya saa 1 usiku Wananchi watakuwa pale uwanja wa Benjamin Mkapa kupepetana na TP Mazembe katika mchezo muhimu wa kundi D, michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika

Yanga inahitaji kushinda mchezo huo ili kuweka hai matumaini ya kutinga robo fainali

Hii ni mara ya tatu Yanga inacheza makundi ya Shirikisho, haikuwahi kufanikiwa kuvuka hatua ya makundi kwenda robo fainali

Hata hivyo ubora wa kikosi cha Yanga wakati huu unawapa mashabiki matumaini kuwa yawezekana msmu huu wanaweza kuishuhudia timu yao hatua ya robo fainali

Ili kufanikisha hilo, Yanga inapaswa kushinda mechi ngumu kama hii ya leo dhidi ya TP Mazembe

Ni wazi hautakuwa mchezo mwepesi, Mazembe sio timu ya kubeza licha ya wengi kuamini haina ubora waliokuwa nao misimu kadhaa nyuma

Vijana wa kocha Nasreddine Nabi wametoka kupoteza mchezo dhidi ya US Monastir hivyo leo wanahitaji kuwapa raha mashabiki wao kwa kutumia vyema uwanja wa nyumbani

More Stories

Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
5h ago
READ MORE →
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
6h ago
READ MORE →
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
8h ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
8h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
9h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
9h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
9h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
9h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
10h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
12h ago
READ MORE →