Juzi baada ya mchezo wa kombe la Shirikisho kati ya Yanga dhidi ya TP Mazembe uliopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa na Yanga kuibuka na ushindi wa mabao 3-1, Rais wa Yanga Injinia Hersi Said alionekana akiteta na winga hatari wa TP Mazembe Fellipe Kinzumbi
..... download Xtra 90 App



