Real Madrid - Liverpool - Napoli - Eintracht

Liverpool vs Real Madrid, Ligi ya Mabingwa Ulaya leo

Joel JJ By Joel JJ
21 Feb 2023
Liverpool vs Real Madrid, Ligi ya Mabingwa Ulaya leo

Liverpool na Real Madrid wanakutana kwa mara nyingine kwenye hatua ya mtoano ligi ya mabingwa barani Ulaya huku Liverpool ikiwa na rekodi mbaya dhidi ya mabingwa hao wa kihistoria barani Ulaya

Miezi tisa imepita tangu Liverpool waangukie pua kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa kufuatia kipigo cha 1-0 dhidi ya Mabingwa hao mara 14

Real Madrid itakosa huduma ya wachezaji wake muhimu Mjerumani, Toni Kroos na Mfaransa, Aurelien Tchouameni kwa majeruhi huku Karim Benzema akitarajiwa kurejea baada ya kukosa mchezo uliopita wa Ligi.

Mechi nyingine itawakutanisha miamba ya Ujerumani, Eintracht Frankfurt dhidi ya vinara wa Serie A, Napoli katika dimba la Deutsche Bank Park.

More Stories

BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
1h ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
1h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
2h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
2h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
2h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
2h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
3h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
4h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
15h ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
15h ago
READ MORE →