Dodoma Jiji - Ihefu

Dodoma Jiji yajipanga kubaki Ligi Kuu

Joel JJ By Joel JJ
β€’
21 Feb 2023
Dodoma Jiji yajipanga kubaki Ligi Kuu

Wakiendelea kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Ihefu utakaopigwa Ijumaa ya wiki hii, timu ya Dodoma Jiji imekiri mambo ni mazito kwenye ligi kwa sasa wakati ikielekea ukingoni

Dodoma inashika nafasi ya 11 kwenye msimamo wa timu 16 ikiwa na pointi 24 baada ya kucheza mechi 23, ikishinda saba, sare tatu na kupoteza 13, huku ikifunga mabao 17 na yenyewe kufungwa 29.

Katika mechi saba ilizosalia nazo nne zitakuwa za nyumbani dhidi ya Ihefu, Polisi Tanzania, Coastal Union na KMC, huku tatu za ugenini kuvaana na Yanga, Namungo na Ruvu Shooting ambayo imetoka kutandikwa mabao 3-2 na Geita Gold

Ikiwa na kumbukumbu ya kipigo cha mabao 2-1 na Mtibwa kwenye mchezo uliopita, Kocha msaidizi wa Dodoma, Kassim Liyogope amesema wanaanza msako wa pointi 12 za nyumbani kwa kuikaribisha Ihefu na kuhitaji ushindi kwa lengo la kujiweka pazuri kwenye msimamo

More Stories

Mizzima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizzima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
2h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
6h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
6h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
7h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
8h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
8h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
9h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
10h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
23h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
23h ago
READ MORE β†’