Simba kusafirisha mashabiki Uganda

Joel JJ By Joel JJ β€’ 21st February 2023


Simba kusafirisha mashabiki Uganda

Katika kuhakikisha wanapata sapoti ya kutosha katika mchezo wa ligi ya mabingwa ambao watacheza siku ya Jumamosi dhidi ya Vipers Fc huko Uganda, klabu ya Simba imewapa fursa mashabiki wake kusafiri na timu

Simba inahitaji kushinda mechi zote mbili (ugenini na nyumbani) dhidi ya Vipers Fc ili kufufua matumaini ya kutinga robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika

Msafara wa mashabiki unatarajiwa kuondoka siku ya Alhamisi na kurejea Jumapili baada ya mchezo dhidi ya Vipers Fc


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.