Simba

Simba yapaa Uganda ikiwa na matumaini kibao

Joel JJ By Joel JJ
β€’
23 Feb 2023
Simba yapaa Uganda ikiwa na matumaini kibao

Kocha Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira 'Robertinho', amesema wanakwenda Uganda kusaka ushindi dhidi ya Vipers Fc ili kufufua matumaini ya kutinga robo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Akizungumza muda mfupi kabla ya kuanza safari ya kuelekea Uganda, Robertinho amesema wachezaji wake wako tayari kwa mchezo huo na watahakikisha wanashinda ugenini

"Tumejipanga kushinda mchezo dhidi ya Vipers bila kujali tupo ugenini najua haitokuwa rahisi, lakini nikwambie tu ninaimani kubwa na jeshi langu la wachezaji 24 tutafanya maajabu tukiwa ugenini," alisema Robertinho.

Wachezaji 24 waliosafiri jioni ya leo ni Aishi Manula, Beno Kakolanya, Ally Salum, Shomari Kapombe, Izrael Mwenda, Mohamed Hussein, Gadiel Michael, Kennedy Juma, Mohammed Ouattara, Joashi Onyango, Henock Inonga na Erasto Nyoni.

Wengine ni Sadio Kanoute, Mzamiru Yassin,Clatous Chama, Ismail Sawadogo, Saido Ntibazonkiza, Peter Banda, Kibu Denis, Pape Sakho, John Bocco, Jean Baleke, Moses Phiri na Habibu Kyombo.

More Stories

Mizzima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizzima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
3h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
7h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
7h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
8h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
9h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
9h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
10h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
10h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
1d ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
1d ago
READ MORE β†’