Arsenal wamemweka kiungo wa kati wa West Ham na Uingereza Declan Rice, 24, juu ya orodha inayosakwa msimu huu kwani The Gunners hawana uwezekano wa kuwa na fedha za kuwania kumnasa kiungo wa kati wa Borussia Dortmund anayekadiriwa kuwa na thamani ya pauni milioni 150 Jude Bellingham, 19. (Football.London)
..... download Xtra 90 App



