Transfer

Tetesi za soka Ulaya, Jumamosi Februari 25 2023

Joel JJ By Joel JJ
25 Feb 2023
Tetesi za soka Ulaya, Jumamosi Februari 25 2023

Mshambuliaji wa Paris St-Germain na Argentina Lionel Messi anatafakari juu ya uwezekano wa kurejea kwenye klabu yake ya utotoni ya Newell's Old Boys. (UOL, via Mirror)

Mshambuliaji wa Chelsea na Ureno Joao Felix, 23, anataka kuufanya mkataba wake kutoka Atletico Madrid uwe wa kudumu msimu huu. (Fijaches - in Spanish)

Liverpool wanataka kusiani mkataba na kiungo wa kati wa Bayern Munich na Uholanzi Ryan Gravenberch, 20, kucheza sambamba na mchezaji wa England na Borussia Dortmund Jude Bellingham, 19. (Express)

Mmiliki wa Chelsea Todd Boehly anaangalia uwezekano wa kuinunua klabu ya Ligue 1 ya Strasbourg. (L'Equipe)

Liverpool, Newcastle, Tottenham na West Ham ni miongoni mwa klanbu za Primia Ligi are zinazomfuatilia kwa karibu kiungo wa kati wa mainz na Ujerumani Anton Stach, 24. (90min)

Matheus Franca ambaye alikuwa analengwa na Newcastle amesaini mkatababa mpya na Flamengo, ambao walikataa ofa ya Magpies ya pauni £17.5m kwa ajili ya kiungo huyo wa kati Mbrazili mwenye umri wa miaka 18 mwezi Januari. (Sun)

Fulham, Everton, Leicester na West Ham wanamtaka mlinzi wa Roma na England Chris Smalling, 33. (90min)

Newcastle United wanapanga uhamisho kwa ajili ya kiungo wa kati-nyuma wa Wolves Muingereza Max Kilman mwenye umri wa miaka 25. (Football Insider)

LA Galaxy wanamtaka kiungo wa kati wa Chelsea Mbrazil Andrey Santos, 18, baada ya mpango wao wa pendekezo la kumchukua kwa mkopo kuvunjika . (Goal)

Brazil inaweza kumleta meneja wa zamani wa Uhispania na Barcelona, Luis Enrique kuchukua nafasi ya Tite badala ya meneja wa Real Madrid Carlo Ancelotti. (Fijaches - in Spanish)

BBC

More Stories

Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
4h ago
READ MORE →
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
5h ago
READ MORE →
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
7h ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
7h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
8h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
8h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
8h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
8h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
9h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
11h ago
READ MORE →