Manchester United - Newcastle United

Ten Hag aanza na Carabao Cup

Joel JJ By Joel JJ
β€’
26 Feb 2023
Ten Hag aanza na Carabao Cup

Kocha Mkuu wa Manchester United Erik Ten Hag leo ameanza kuhesabu taji lake la kwanza akiiongoza United kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Newcastle Unite katika mchezo wa fainali kombe la Carabao uliopigwa uwanja wa Wembley

Mabao mawili ya kipindi cha kwanza kutoka kwa Casemiro na bao la kujifunga Botman yalitosha kuihakikishia Man United ushindi uliowapa taji baada ya miaka sita

Pamoja na kuwa na mechi nzuri kwa muda mwingi, dakika sita zilitosha kuzima ndoto ya Newacatle kushinda taji lao la kwanza tangu mwaka 1969

Ten Hag amefanya mabadiliko makubwa ya uchezaji kwa kikosi cha Man United pengine huu ni mwanzo wa kurejea mataji Old Trafford

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
6h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
6h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
10h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
14h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
15h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
16h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
17h ago
READ MORE β†’