Baada ya kurejea kutoka Uganda ambako walifanikiwa kuichapa Vipers Fc bao 1-0 na kufufua matumaini ya kutinga robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika, kikosi cha Simba kinaanza maandalizi ya mechi mbili zinazofuata katika michuano hiyo ambazo zitapigwa uwanja wa Benjamin Mkapa
..... download Xtra 90 App



