Baada ya kuvuna pointi tatu ugenini dhidi ya Vipers, Kocha Mkuu wa Simba, Robertiho Oliveira, ametambia mfumo mpya kuwasaidia kuibuka na ushindi huku akieleza matokeo hayo yamerudisha uhai mpya katika mipango yao ya kusaka pointi sita za michezo miwili ya nyumbani
..... download Xtra 90 App



