Kocha wa Manchester United Erik ten Hag anataka kusajili angalau wachezaji wawili muhimu msimu huu wa joto, huku mshambuliaji wa Napoli na Nigeria Victor Osimhen, 24, na kiungo mshambuliaji wa Ajax Mghana Mohammed Kudus, 22, akiwa miongoni mwa malengo yake.(Manchester Evening News).
..... download Xtra 90 App



