Real Madrid itatathmini mustakabali wa muda mrefu wa Mkroatia Luka Modric, 37, na Mjerumani mwenye umri wa miaka 33 na kiungo mwenza Toni Kroos kabla ya kujitolea kwa kiungo wa kati wa Borussia Dortmund Jude Bellingham, 19, ambaye amepewa ushauri wa kukataa kuhamia Liverpool. (Diario AS - in Spanish)
..... download Xtra 90 App



