Barcelona bado wanataka kumsajili kiungo wa kati wa Ureno Bernardo Silva na Manchester City watakuwa tayari kumruhusu mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28, ambaye mkataba wake unaisha Juni 2025, kuondoka kwa euro 65m (£57.5m). (Sport -in Spanish)
..... download Xtra 90 App



