Wapinzani wa Simba katika mchezo wa ligi ya mabingwa barani Afrika, Vipers Fc kutoka nchini Uganda wanatarajia kuwasili nchini kesho Jumatatu Machi 6 ,2023 kwa ajili ya mchezo dhidi ya Simba utakaochezwa siku ya Jumanne ya Machi 7-2023 kwenye dimba la Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam
..... download Xtra 90 App



