Manchester United inamfuatilia mshambuliaji wa Roma Tammy Abraham, lakini klabu yake ya zamani Chelsea imekataa kwanza kumsajili mchezaji huyo wa kimataifa wa Uingereza, 25, baada ya kujadiliana kuhusu kipengele cha kumnunua tena cha euro 80m (£70.8m) walipomuuza Serie A. . (Athletic - subscription required)
..... download Xtra 90 App



