Barcelona - Real Madrid - Valencia - Real Betis

Barelona kileleni, Real Madrid yachechemea

Joel JJ By Joel JJ
6 Mar 2023
Barelona kileleni, Real Madrid yachechemea

Rafinha aliihakikishia Fc Barcelona ushindi muhimu wa bao 1-0 dhidi ya Valencia katika mchezo wa La Liga uliopigwa dimba la Camp Nou jana

Hata hivyo haikuwa rahisi kwa Barca kuondoka na alama zote tatu wakilazimika kulinda bao moja wakiwa pungufu baada ya Ronald Araujo kutolewa nje kwa kadi nyekundu kwa kumfanyia madhambi Hugo Duro akiwa ni mlinzi wa mwisho

Barca wangeweza kumaliza mechi hiyo mapema kama Ferran Torres angefunga mkwaju wa penati mapema kwenye kipindi cha pili

Ushindi huo ulikuwa na thamani kubwa kwa Barca kwani wameendelea kujichimbia kileleni mwa msimamo wa La Liga kwa tofauti ya alama tisa baada ya wapinzani wao Real Madrid kulazimishwa suluhu ya bila kufungana dhidi ya Real Betis

Barcelona imefikisha alama 62 baada ya mechi 24 wakati Real Madrid wana alama 53 baada ya mechi 24 pia

Tangu ushindi wao wa mabao 5-2 dhidi ya Liverpool kwenye michuano ya ligi ya mabingwa, Real Madrid hawajafanikiwa kupata ushindi katika mechi tatu

Walitoka sare ya bao 1-1 dhidi ya mahasimu wao kutoka jiji la Madrid, Atletico kisha wakapoteza mchezo wa nusu fainali Copa Del rey dhidi ya wapinzani wao Barcelona kwa kufungwa bao 1-0 katika uwanja wao wa nyumbani na jana kulazimishwa suluhu dhidi ya Real Betis ugenini

More Stories

SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
1m ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
1h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
11h ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
12h ago
READ MORE →
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
12h ago
READ MORE →
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
16h ago
READ MORE →
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
19h ago
READ MORE →
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
20h ago
READ MORE →
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
20h ago
READ MORE →
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
21h ago
READ MORE →